forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
296 B
Markdown
13 lines
296 B
Markdown
|
# azibaye masikio yake kwenye kilio cha maskini
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau "ambaye hatasikiliza wakati watu maskini wanapoomba msaada"
|
||
|
|
||
|
# hatajibiwa
|
||
|
|
||
|
"hakuna atakayefanya jambo lolote kwa ajili ya kumsaidia"
|
||
|
|
||
|
# hutuliza hasira
|
||
|
|
||
|
"kumfanya mtu mwenye hasira ajisikie vizuri na asiendelee kuwa na hasira tena"
|
||
|
|