forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
691 B
Markdown
33 lines
691 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Baba anamalizia kuwafundisha watoto wake yale ambayo alifunzwa na baba yake.
|
||
|
|
||
|
# tumia mapata yako yote kujipatia ufahamu
|
||
|
|
||
|
"thamini ufahamu zaidi kuliko yote unayoyamiliki"
|
||
|
|
||
|
# mtunze hekima na yeye atakutukuza
|
||
|
|
||
|
"kama utamlea hekima, atakupa heshima kubwa"
|
||
|
|
||
|
# mtunze
|
||
|
|
||
|
kujihisi au kuonyesha upendo mkuu kwamtu au kitu
|
||
|
|
||
|
# atakuheshimu endapo utamkumbatia
|
||
|
|
||
|
"kama utapenda sana hekima, hekima itasababisha watu wakuheshimu"
|
||
|
|
||
|
# ataweka kilemba cha heshima juu ya kichwa chako
|
||
|
|
||
|
"Hekima itakuwa kama kilemba juu ya kichwa chako ambacho huonesha heshima kuu"
|
||
|
|
||
|
# Kilemba
|
||
|
|
||
|
duara iliyofumwa kwa majani au maua
|
||
|
|
||
|
# atakupatia taji zuri
|
||
|
|
||
|
" hekima ni kama taji zuri juu ya kichwa chako"
|
||
|
|