forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
375 B
Markdown
17 lines
375 B
Markdown
|
# Njia zake ni njia za upole na mapito yake yote ni amani
|
||
|
|
||
|
Hekima inatakutendea kwa upole na kukupa amani daima
|
||
|
|
||
|
# Yeye ni mti wa uzima kwao ambao humshikilia
|
||
|
|
||
|
Hekima ni kama mti ambao huhifadhi uzima kwao ambao hula matunda yake
|
||
|
|
||
|
# mti wa uzima
|
||
|
|
||
|
mti unaota uzima au mti ambao matunda yake hudumisha uzima
|
||
|
|
||
|
# kwao ambao humshikilia
|
||
|
|
||
|
wao ambao hushikilia kwenye matunda yake
|
||
|
|