forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
677 B
Markdown
37 lines
677 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla
|
||
|
|
||
|
Bwana anaendelea kumpa Obadia ujumbe wake kwa Edomu
|
||
|
|
||
|
# ndugu yako Yakobo
|
||
|
|
||
|
AT "jamaa zako ambao ni wazao wa Yakobo."
|
||
|
|
||
|
# utafunikwa na aibu
|
||
|
|
||
|
"utakuwa na aibu kabisa"
|
||
|
|
||
|
# zitakatwa milele
|
||
|
|
||
|
"haitakuwepo tena."
|
||
|
|
||
|
# alisimama karibu
|
||
|
|
||
|
"alitazama na hakufanya chochote kusaidia"
|
||
|
|
||
|
# wageni
|
||
|
|
||
|
watu kutoka mataifa mengine
|
||
|
|
||
|
# mali yake
|
||
|
|
||
|
Neno 'wake' linamaanisha 'Yakobo,' ambayo ni njia nyingine ya kutaja watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# kupiga kura kwa ajili ya Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanamaanisha 'walipiga kura ili kuamua nani atakayepata vitu muhimu ambavyo walichukua kutoka Yerusalemu.'
|
||
|
|
||
|
# ulikuwa kama mmoja wao
|
||
|
|
||
|
"ilikuwa ni kama wewe ulikuwa mmoja wa wageni hawa na wageni"
|
||
|
|