forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
611 B
Markdown
25 lines
611 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Maji yanatirika ... zimemwagiwa maji
|
||
|
|
||
|
"Mungu ataibariki Israeli kwa maji mengi kwa ajili ya mazao"
|
||
|
|
||
|
# mbegu zao zimemwagiwa maji vizuri
|
||
|
|
||
|
"Watakuwa na maji mengi kwa ajili ya mbegu zao ili kusitawisha mazao"
|
||
|
|
||
|
# Mfalme wao atakuwa juu ... na ufame wao utaheshimiwa
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi zinamaanisha kitu kimoja zinasisitiza kuwa Mungu atawabariki ukilinganisha na mataifa mengine.
|
||
|
|
||
|
# Mfalme wao atakuwa juu ya Agagi
|
||
|
|
||
|
Neno "juu" linamaanishsa heshima ya juu na mamlaka kuliko Agagi.
|
||
|
|
||
|
# Ufalme wao utaheshimiwa
|
||
|
|
||
|
"watu wengine watauheshimu ufalme"
|
||
|
|