forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
334 B
Markdown
13 lines
334 B
Markdown
|
# Hakuna uganga utakaofanyika dhidi ya Yakobo ... hakuna uchawiutakaomwumiza Israeli
|
||
|
|
||
|
Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile kwamba; hakuna laana ambayo mtu yeyote ataifanya katika taifa la Israaeli itakayofanikiwa.
|
||
|
|
||
|
# Itasemwa
|
||
|
|
||
|
"watu watasema"
|
||
|
|
||
|
# Tazama kile ambacho Mungu amefanya
|
||
|
|
||
|
"Yatazame mambo mazuri ambayo Mungu amewafanyia!"
|
||
|
|