sw_tn/neh/09/14.md

9 lines
191 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Sentensi unganishi
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
# amri..... maagizo...... sheria
Kila moja ya maneno haya matatu yanahusu sheria ya Musa.