forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
642 B
Markdown
37 lines
642 B
Markdown
|
# Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala
|
||
|
|
||
|
Nehemia alikuwa mtawala, si Azbuki.
|
||
|
|
||
|
# Nehemia
|
||
|
|
||
|
Huyu ni mtu tofauti aitwaye Nehemia kutoka kwa mtu aliyeandika kitabu hiki.
|
||
|
|
||
|
# mtawala
|
||
|
|
||
|
"msimamizi mkuu" au "kiongozi"
|
||
|
|
||
|
# nusu ya wilaya
|
||
|
|
||
|
"Nusu" ina maana sehemu moja kati ya sehemu mbili sawa
|
||
|
|
||
|
# Nehemia...Azbuki...Rehumi....Hashabia
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya watu.
|
||
|
|
||
|
# Beth-suri...Keila
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mahali
|
||
|
|
||
|
# kujenga mahali... Walawi walijenga
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "aliandaa ukuta hadi mahali ... Walawi walijenga ukuta"
|
||
|
|
||
|
# watu wenye nguvu
|
||
|
|
||
|
"wapiganaji"
|
||
|
|
||
|
# kwa wilaya yake
|
||
|
|
||
|
"anayewakilisha wilaya yake" au "kwa niaba ya wilaya yake"
|
||
|
|