forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
950 B
Markdown
37 lines
950 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Nahumu anaelezea uharibifu wa Ninawi katika shairi.
|
||
|
|
||
|
# Yule ambaye atakuvunja vipande vipande
|
||
|
|
||
|
Ni namna ya picha ya mtu anayevunja chungu. TN: " Atakuharibu"
|
||
|
|
||
|
# Yule ambaye atakuvunja
|
||
|
|
||
|
Mtu ambaye ni "Yule" hajawekwa wazi, kwa hiyo tafsiri inatumia kauli jumuishi: "mtu ambaye atakuvunja vipande vipande."
|
||
|
|
||
|
# Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
|
||
|
|
||
|
kujitayarisha kwa ajili vita
|
||
|
|
||
|
# Linda kuta za mji
|
||
|
|
||
|
"Panga walinzi kwenye kuta kwa ajili ya kukinga"
|
||
|
|
||
|
# Maana Yahwe anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana kuwa Yahwe atamfanya Yakobo na Israeli kuwa wakuu, na watu watawapenda tena.
|
||
|
|
||
|
# wateka nyara
|
||
|
|
||
|
watu wanaoiba vitu kwa nguvu, mara nyingi katika vita
|
||
|
|
||
|
# waliwaharibu
|
||
|
|
||
|
waliangamiza kila kitu.
|
||
|
|
||
|
# kuharibu matawi ya zabibu zao
|
||
|
|
||
|
hapa taifa linaongelewa kana kwamba ni mzabibu uliolimwa. TN: " na kuling'oa taifa lenu kana kwamba ni shamba la mzabibu"
|
||
|
|