forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
506 B
Markdown
29 lines
506 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Nahumu anawaambia watu wa Ninawi jinsi ambavyo Yahwe atawashughulikia.
|
||
|
|
||
|
# atakomesha
|
||
|
|
||
|
"kuacha kabisa kufanya"
|
||
|
|
||
|
# taabu haitainuka mara ya pili
|
||
|
|
||
|
"Hatakushambulia kwa mara ya pili"
|
||
|
|
||
|
# Watakuwa....chao
|
||
|
|
||
|
Nahumu anazungumza kwa Waisraeli kwa ufupi juu ya watu wa Ninawi.
|
||
|
|
||
|
# watakuwa wamevurugika kama michongoma
|
||
|
|
||
|
"kabiliwa na matatizo mengi ambayo yatawazuia kuvamia"
|
||
|
|
||
|
# wataharibiwa kabisa
|
||
|
|
||
|
Yahwe ataiharibu kabisa Ninawi yote
|
||
|
|
||
|
# aliimarisha uovu
|
||
|
|
||
|
aliwahamasisha watu kufanya mambo maovu
|
||
|
|