forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
429 B
Markdown
13 lines
429 B
Markdown
|
# Mmeijenga Sayuni kwa damu na Yerusalemu kwa uovu
|
||
|
|
||
|
Matajiri walikuwa wakijijengea wenyewe nyumba nzuri mara nyingi kwa gharama na kuwatenda vibaya maskini.
|
||
|
|
||
|
# damu
|
||
|
|
||
|
Hapa "damu" inarejea kuua.
|
||
|
|
||
|
# Je! Yahwe yu pamoja nasi? Hakuna uovu utakaokuja juu yetu.
|
||
|
|
||
|
Mika anawanakuu watu wafikiriao tofauti Yahwe hatawaadhibu kwa matendo yao maovu. Neno la Kiebrania la "uovu" hapa ni sawa kama "janga" katika 2:3, neno kuu katika kitabu.
|
||
|
|