forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
505 B
Markdown
25 lines
505 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Kuwakemea viongoziwa dini na kufafanua kutokuamini kwao, Yesu anaeleza mfano wa watumishi wapinzani.
|
||
|
|
||
|
# Mtu mwenye eneo kubwa la aridhi
|
||
|
|
||
|
"mtu anayemiliki sehemu ya mali"
|
||
|
|
||
|
# uzio
|
||
|
|
||
|
"ukuta" au "kizuizi"
|
||
|
|
||
|
# akachimba shinikizo
|
||
|
|
||
|
"alichimba shimo la kukamulia zabibu"
|
||
|
|
||
|
# akalikodisha kwa watunza zabibu
|
||
|
|
||
|
"kuwaweka wakulima wa mizabibu kuwa wasimamizi wa shamba la mizabibu" Mwenye shamba bado ni mmliki wa shamba.
|
||
|
|
||
|
# Wakulima wa mizabibu
|
||
|
|
||
|
watu waliojua jinsi ya kutunza mizabibu na divai
|
||
|
|