forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
758 B
Markdown
33 lines
758 B
Markdown
|
# Simoni Bar Yona
|
||
|
|
||
|
"Simoni, mwana wa Yona"
|
||
|
|
||
|
# damu na nyama havikukufunulia hilo
|
||
|
|
||
|
damu na nyama inamaanisha binadamu
|
||
|
|
||
|
# hili kwako
|
||
|
|
||
|
neno "hili" inamaanisha jibu la Petro kwamba Yesu ni Kristo mwana wa Mungu aliye juu
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu aliye mbinguni
|
||
|
|
||
|
Hicho ni cheo cha muhimu kwa Mungu ambacho kinaelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu
|
||
|
|
||
|
# Nami pia ninakwambia
|
||
|
|
||
|
hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye
|
||
|
|
||
|
# wewe ni Petro
|
||
|
|
||
|
jina Petro linamaanisha "mwamba"
|
||
|
|
||
|
# juu y a mwamba huu nitalijenga kanisa
|
||
|
|
||
|
hii inamaanisha kuwa Petro atakuwa kiongozi wa jamii ya watu wanomwamini Yesu
|
||
|
|
||
|
# Milango ya kuzimu haitalishinda
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana:1)"nguvu za kifo hazitaliweza kanaisa au 2) Kanaisa langu zitaivunja nguvu ya kifo kama jeshi liingiavyo katika mji
|
||
|
|