forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
1.2 KiB
Markdown
33 lines
1.2 KiB
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Katika mastari wa 25, Yesu anaanza kuwajibu mashataka ya Mafarisayo kwamba amemponya mtu kwa nguvu za shatani
|
||
|
|
||
|
# muujiza huu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha muujiza wa kumponya yule kipofu, bubu na alaiyepagawa na pepo.
|
||
|
|
||
|
# Huyu mtu hatoi pepo kwa nguvu zake isipokuwa isipokuwa nguvu za Belzebuli,
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo chanya. "Huyu mtu anaweza kufukuza pepo kwa sababu ni mtumishi wa Belzabul"
|
||
|
|
||
|
# Huyu mtu
|
||
|
|
||
|
Mafarisayo waliepuka kumwita Yesu kwa jina ili kuonesha kuwa hawamkubali.
|
||
|
|
||
|
# mkuu wa pepo
|
||
|
|
||
|
"mfalme wa pepo"
|
||
|
|
||
|
# kila ufalme uliogawanyika wenyewe huharibika, na kila mji au nyumba iliyogawanyika haitasimama
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia mithali kuwajibu Mafarisayo. Sentenzi hizi mbili zinmaanishakitu kilekile. Zinasisitiza kuwa haimanishi chochote kwa Belzabul kutumia nguvu zake kuwapinga pepo wengine.
|
||
|
|
||
|
# Kila ufalme uliogawanyika huharibika
|
||
|
|
||
|
Hpa "ufalme" unamaanisha wale wanaoishi kwenye huo ufalme. Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Ufalme hautadumu wakati wake wanapigana wao kwa wao"
|
||
|
|
||
|
# kila mji au nyumba iliyogawanyika haitasimama
|
||
|
|
||
|
Hapa"mji" unamaanisha watu wanaoishi humo na. "nyumba" inamaanisha familia. "inaharibu mji au familia watu wanapopigana wao kwa wao
|
||
|
|