forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
615 B
Markdown
21 lines
615 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "u" na "yao" viko katika wingi.
|
||
|
|
||
|
# mbwa....nguruwe
|
||
|
|
||
|
Wayahudi waliwachukulia wanyama hawa kuwa wachafu, na Mungu aliwaambia wayahudi wasiwale. Huu ni msemo kwa watu waovu ambao hawathamini vitu vitakatifu. Itakuwa vizuri kutafsiri maneno haya kiualisia.
|
||
|
|
||
|
# lulu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni sawa na mviringo,jiwe la thamani au glasi. Ni misemo ya elimu ya Mungu au vitu vyenye ubora kiujumla.
|
||
|
|
||
|
# wanaweza kuviharibu
|
||
|
|
||
|
"nguruwe wataviharibu"
|
||
|
|
||
|
# na tena watageuka na kurarua
|
||
|
|
||
|
"na mbwa watageuka na kurarua"
|
||
|
|