forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
1.0 KiB
Markdown
25 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Kauli inayounganisha
|
||
|
|
||
|
Yesu aliendelea kufundisha wanafunzi wake
|
||
|
|
||
|
# Nimekuja kuwasha moto duniani
|
||
|
|
||
|
"Nimekuja kutupa moto duniani" au "Nimekuja kuwasha moto duniani" . Inawsza kuwa na maama zifuatazo: 1) Yesu alikuja kuwahukumu watu 2) Yesu alikuja kuwatakasa wanaomuamini 3) Yesu alikuja kusababisha kugawanyika kwa watu.
|
||
|
|
||
|
# natamani iwe imekwisha kuwaka
|
||
|
|
||
|
Kuna msisitizo wa njisi alivyotaka hayo yatokee. " Natamani sana kuwa imeshawaka" au "Ni jinsi gani ninavyotamani iwe imeshaanza"
|
||
|
|
||
|
# Lakini nina ubatizo ambao nitabatizwa kwayo
|
||
|
|
||
|
"Ubatizo" ina maanisha aina ya mateso ambayo Yesu atapata. Kama maji yamfinikavyo mtu wakati wa ubatizo, mateso yatamkabili na kumpata Yesu. " Ni lazima nipitie mateso mabaya" au "Nitapitia katika mateso makubwa kama vile mtu anavyofunikwa na maji wakati wa ubatizo"
|
||
|
|
||
|
# Lakini
|
||
|
|
||
|
Neno "Lakini" linatumika kuonyesha kuwa hatawasha moto duniani mpaka kwanza apitie hayo mateso"
|
||
|
|
||
|
# nina huzuni hadi ikamilike
|
||
|
|
||
|
Mshangao inasisitiza jinsi alivyo na huzuni. "Nina huzuni sana na itaendelea kuwepo hadi nimalize ubatizo huu wa mateso"
|
||
|
|