sw_tn/lev/25/18.md

9 lines
316 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza
Virai hivi vyote humaanisha kitu kimoja. Zinasisitiza kwamba watu wanapaswa kutii kila asemalo Yahweh.
# nanyi mtakula kiasi cha shibe yenu
Hii humaanisha kwamba wangekula vya kutosha mpaka matumbo yao yajae. : "mtakuala mpaka mjazwe" au mtakula tele"