forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
316 B
Markdown
9 lines
316 B
Markdown
|
# muyatii maagiza, kuzitunza sheria zangu na kuzitekeleza
|
||
|
|
||
|
Virai hivi vyote humaanisha kitu kimoja. Zinasisitiza kwamba watu wanapaswa kutii kila asemalo Yahweh.
|
||
|
|
||
|
# nanyi mtakula kiasi cha shibe yenu
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha kwamba wangekula vya kutosha mpaka matumbo yao yajae. : "mtakuala mpaka mjazwe" au mtakula tele"
|
||
|
|