forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
635 B
Markdown
21 lines
635 B
Markdown
|
# Naye ataziondoa pia
|
||
|
|
||
|
Neno "naye" hapa humaanisha mtu anayetoa dhabihu.
|
||
|
|
||
|
# ataiteketeza hiyo yote juu ya madhabahu kuwa matoleo ya chakula ya kuteketezwa
|
||
|
|
||
|
Hapa haikukusudiwa kumaanisha kwamba Yahweh hula chakula. : "ataviteketeza vitu hivyo juu ya madhabahu viwe sadaka kwa Yahweh. Kitakuwa ni chakula chao alichopwa Yahweh"
|
||
|
|
||
|
# kutoa harufu ya kupendeza
|
||
|
|
||
|
Yahweh hupendezwa na harufu ya nyama iliyochomwa anapopendezwa na usafi wa aabuduye. Tazama lilivyotafsiriwa katika 1:7
|
||
|
|
||
|
# Itakuwa ni amri ya kudumu kwa vizazi vya watu wako
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha kwamba wao pamoja na vizazi vyao lazima waitii amri hii.
|
||
|
|
||
|
# au damu
|
||
|
|
||
|
"au kutumia damu"
|
||
|
|