forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
592 B
Markdown
33 lines
592 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Shairi lipya la anzu.
|
||
|
|
||
|
# Kumbuka
|
||
|
|
||
|
"Fikiria kuhusu"
|
||
|
|
||
|
# uone aibu yetu
|
||
|
|
||
|
"angalia hali ya aibu tuliyo nayo"
|
||
|
|
||
|
# Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni
|
||
|
|
||
|
"Umeruhusu wageni kuchukua "
|
||
|
|
||
|
# nyumba zetu kwa wageni
|
||
|
|
||
|
"umeruhusu wageni wachukuwe mali za urithi wetu"
|
||
|
|
||
|
# Tumekuwa yatima ... mama zetu ni kama wajane
|
||
|
|
||
|
Watu wa Yerusalemu hawana mtu wa kuwalinda kwasababu wanaume wamekufa vitani au wameenda matekani.
|
||
|
|
||
|
# Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa
|
||
|
|
||
|
"Lazima tulipe fedha kwa maadui zetu ili tunywe maji yetu"
|
||
|
|
||
|
# tulipe fedha kupata mbao zetu
|
||
|
|
||
|
"maadui zetu wanatuuzia mbao zetu"
|
||
|
|