sw_tn/jos/22/21.md

5 lines
209 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Kama ilikuwa ni katika uasi..... basi Yahweh na atuadhibu.
Makabila matatu yanafanya kauli mbili zenye nadharia tete zinazosisitiza kuwa haikuwa kweli. Hawakujenga madhabahu ili kumwabudu mungu mwingine.