forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
497 B
Markdown
17 lines
497 B
Markdown
|
# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simon
|
||
|
|
||
|
Nchi na miji ambayo kabila la Simoni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu
|
||
|
|
||
|
# waliopewa kwa koo zao
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"
|
||
|
|
||
|
# Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inaweza kuelezwa wa muundo tendaji: "Sehemu ya nchi ambayo Yoshua aliigawa kwa kabila la Yuda"
|
||
|
|
||
|
# sehemu yao ya katikati
|
||
|
|
||
|
"Katikati ya sehemu ya nchi ya Yuda"
|
||
|
|