sw_tn/jos/15/05.md

17 lines
363 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# katika mdomo wa Yordani
Sehemu ambayo mto humwaga maji yake baharini inazungumzwa kana kwamba ulikuwa ni mdomo wa mto.
# mpaka...ulianzia
"mpaka...ulikuwa"
# Bethi Hogla...Bethi Araba
haya ni majina ya sehemu/mahali
# JIwe la Bohani
Hili lilikuwa ni jiwe kubwa lililowekwa na mtu fulani kama alama ya mpaka na liliitwa kwa jina la mtu aliyeitwa Hohani.