forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
363 B
Markdown
17 lines
363 B
Markdown
|
# katika mdomo wa Yordani
|
||
|
|
||
|
Sehemu ambayo mto humwaga maji yake baharini inazungumzwa kana kwamba ulikuwa ni mdomo wa mto.
|
||
|
|
||
|
# mpaka...ulianzia
|
||
|
|
||
|
"mpaka...ulikuwa"
|
||
|
|
||
|
# Bethi Hogla...Bethi Araba
|
||
|
|
||
|
haya ni majina ya sehemu/mahali
|
||
|
|
||
|
# JIwe la Bohani
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa ni jiwe kubwa lililowekwa na mtu fulani kama alama ya mpaka na liliitwa kwa jina la mtu aliyeitwa Hohani.
|
||
|
|