forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
338 B
Markdown
17 lines
338 B
Markdown
|
# Basi
|
||
|
|
||
|
Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko katika habari kuu. Hapa mwandishi anaanza kutoa maneno ya nyuma.
|
||
|
|
||
|
# hawa ni wafalme
|
||
|
|
||
|
inawarejelea orodha ya wafalme na inaendelea mpaka katika mstari wa 24
|
||
|
|
||
|
# Araba... Aroeri
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mahali/sehemu
|
||
|
|
||
|
# Sihoni... Heshiboni
|
||
|
|
||
|
Tafsiri maneno haya kama vile ulivyofanya katika 9:9
|
||
|
|