forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
650 B
Markdown
25 lines
650 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mungu anaendelea kuzungumza. Anatumia maswali mengi ya kejeli kumtia changamoto Ayubu.
|
||
|
|
||
|
# Au kumfunga taya zake kwa kamba?
|
||
|
|
||
|
"Hauwezi kumvua mamba kwa ndoano ya samaki"
|
||
|
|
||
|
# Au kumfunga taya zake kwa kamba?
|
||
|
|
||
|
Hii si sentensi kamili, lakini maana yake yaweza kufahamika kutoka katika muktadha kama " Au kumfunga taya zake kwa kamba? "au hauwezi kumfunga taya kwa kamba.
|
||
|
|
||
|
# Je waweza kuweka kamba katika pua zake
|
||
|
|
||
|
"Hauwezi kuweka kamba katika pua yake, au kuchoma taya zake kwa ndoano"
|
||
|
|
||
|
# Je atafanya maombi mengi kwako?
|
||
|
|
||
|
"Hawezi kufanya maombi kwako"
|
||
|
|
||
|
# Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
|
||
|
|
||
|
"Hataweza kuzungumza maneno laini"
|
||
|
|