forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
640 B
Markdown
25 lines
640 B
Markdown
|
# Binadamu hukomesha giza
|
||
|
|
||
|
huweka nuru mahali penye giza. Watu waliweza kutumia miale, ama taa au tochi.KTN:" Bibadamu hubeba mwanga kwenye sehemu za giza"
|
||
|
|
||
|
# kwenye mpaka wa mbali zaidi
|
||
|
|
||
|
"kwenye sehemu za mbali zaidi kwenye machimbo"
|
||
|
|
||
|
# uvunguvungu ...giza nene
|
||
|
|
||
|
haya mafumbo mawili yametumika kuonyesha kuwa giza ni kuu sana
|
||
|
|
||
|
# shimo
|
||
|
|
||
|
tundu jembambale lenye kina linalochimbwa ardhini au kwenye mwamba. Watu hushuka chini ya tundu ili kuchimba.
|
||
|
|
||
|
# sehemu ambazo zimesahauliwa na mguu wa mtu yeyote
|
||
|
|
||
|
KTN: " ambapo hakuna mtu amewahi kupakanyaga"
|
||
|
|
||
|
# Huning'inia mbali na watu
|
||
|
|
||
|
KTN:" Mbali na watu huning'inia kwenye kamba ndani ya shimo"
|
||
|
|