forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
540 B
Markdown
21 lines
540 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
mistari ya 22-23 Ayubu anazungumzia upepo kana kwamba ni mtu mwenye kumshambulia mtu mwovu
|
||
|
|
||
|
# unajirusha wenyewe juu yake
|
||
|
|
||
|
hapa "unajilisha wenyewe " inamaanisha upepe. "unavuma kwa nguvu dhidi yake kama mtu mwenye kumshambulia"
|
||
|
|
||
|
# anajaribu kuukimbia mko wake
|
||
|
|
||
|
" anajaribu kukimbia kutoka katika mamlaka yake"
|
||
|
|
||
|
# Anapiga makofi yake kwa kumdhihaki.
|
||
|
|
||
|
" Upepo unato sauti kubwa kama ya mtu anayepiga makofi ili kudhihaki"
|
||
|
|
||
|
# anazomewa mbali na sehemu yake
|
||
|
|
||
|
"amepeperushwa mbali na sehemu yake na anazomewa kwa dhihaka"
|
||
|
|