forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
914 B
Markdown
29 lines
914 B
Markdown
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
|
||
|
|
||
|
# Mara kumi hivi mmenishutumu mimi
|
||
|
|
||
|
Tungo "Mara kumi hivi" inamaanisha jinsi ambavyo rafiki zake wamemkemea kabisa Ayubu"Ninyi mmenidhihaki mimi" au" Ninyi mmenidhihaki mimi mara nyingi"
|
||
|
|
||
|
# ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
|
||
|
|
||
|
Ayubu anawakemea wao hivi. "Ninyi mnapaswa kuona aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili"
|
||
|
|
||
|
# mmenitendea mimi kwa ukatili.
|
||
|
|
||
|
"mmenikejeli mimi"au "mmenidhihaki mimi hadharani"
|
||
|
|
||
|
# nimekosa,
|
||
|
|
||
|
"nimetenda dhambi kwa bahati mbaya" au" kwa kufanya makosa nimetenda dhambi"
|
||
|
|
||
|
# makosa yangu
|
||
|
|
||
|
"dhambi yangu" au" makosa yangu"
|
||
|
|
||
|
# makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
|
||
|
|
||
|
Ayubu anamaanisha kwamba rafiki zake hawapaswi kuendelea kumdhihaki yeye" makosa yangu ni juu yangu mimi mwenyewe, hivyo hampaswi kuendelea kunikemea mimi" au " makosa yangu hayakuwaumiza ninyi, hivyo hampaswi kuendelea kunikekemea mimi"
|
||
|
|