forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
475 B
Markdown
21 lines
475 B
Markdown
|
# Mikono yako
|
||
|
|
||
|
Hapa "mikono" ni mfano wa Mungu na ubunifu wake wa kufanya. "Wewe"
|
||
|
|
||
|
# Mikono yako imeniumba na kunifinyanga kwa wakati mmoja nawe kunizunguka
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia sitiari ya mfinyanzi atengenezaye udongo kuelezea namna Mungu alivyo muumba yeye kwa uangalifu mkubwa.
|
||
|
|
||
|
# imeniumba na kunifinyanga
|
||
|
|
||
|
"amenipa umbo na kunitengeneza." Maneno "umbwa" na "finyangwa" yana maana inayolandana.
|
||
|
|
||
|
# fikiri
|
||
|
|
||
|
"kumbuka"
|
||
|
|
||
|
# utanirudisha mavumbini tena
|
||
|
|
||
|
"nirudishe tena mavumbini"
|
||
|
|