forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
391 B
Markdown
21 lines
391 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla"
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza juu ya mambo yatakayotokea kwa Elamu.
|
||
|
|
||
|
# watu wa upinde
|
||
|
|
||
|
Ni watu ambao wana ujuzi wa upinde na mishale.
|
||
|
|
||
|
# pepo nne toka kwenye kona nne
|
||
|
|
||
|
"pepo 4 toka kwenye kona 4"
|
||
|
|
||
|
# kona nne za
|
||
|
|
||
|
"Pando zote, kila mahali".
|
||
|
|
||
|
# Hakuna taifa ambalo wale waliotawanyika toka Elamu hawatakwenda.
|
||
|
|
||
|
"Wakimbizi toka Elamu watalazimika kutafuta makazi kila sehemu duniani."
|
||
|
|