forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
824 B
Markdown
33 lines
824 B
Markdown
|
# upaa
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kitendo cha kunyoa nywele zote za kichwani au sehemu ya nywele kama ishara ya maombolezo makubwa yanayofanywa na wanaoabudu sanamu wa mataifa kama Filisti.
|
||
|
|
||
|
# watu ... watanyamaziswa.
|
||
|
|
||
|
"Watu ... watauawa."
|
||
|
|
||
|
# Kwa muda gani mtajikata wenyewe kwa ajili ya kuomboleza
|
||
|
|
||
|
Kujikata ngozi ilikuwa inafanywa na wanaoabudu sanamu walipokuwa wakiomboleza msibani.
|
||
|
|
||
|
# upanga wa Bwana
|
||
|
|
||
|
Hili ni jeshi ka kaskazini ambalo Bwana analitumia kuwaadhibu Wafilisti.
|
||
|
|
||
|
# Itachukua muda gani mpaka mtakapokuwa kimya
|
||
|
|
||
|
Wafilisti walitumia swali hili kuonesha namna ambavyo walichanganyikiwa kutokana na uharibifu uliosababishwa na adui zao.
|
||
|
|
||
|
# wewe
|
||
|
|
||
|
Hapa upanga wa Bwana unafananishwa na mtu.
|
||
|
|
||
|
# ala
|
||
|
|
||
|
Ni kifaa kinachotumika kulindia makali ya upanga.
|
||
|
|
||
|
# Ukuwaje kimya, kwa kuwa bwana amekuamuru
|
||
|
|
||
|
Hapa unazungumziwa upanga wa Bwana.
|
||
|
|