forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
309 B
Markdown
13 lines
309 B
Markdown
|
# Neno la Mungu likaja kwa Yeremia likisema.
|
||
|
|
||
|
"Hiki ndicho alicho Yahwe alimwamabia Yeremia."
|
||
|
|
||
|
# Kun kitu chochote kigumu sana kwangu kukifanya?
|
||
|
|
||
|
Yahwe anatumia swali kusisitiza kwamba anaweza kufanya chochote.
|
||
|
|
||
|
# Kwenye mikono ya Wakaldayo.
|
||
|
|
||
|
Katika sentensi hii neno "mkono" linawakilisha nguvu au umiliki.
|
||
|
|