forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
530 B
Markdown
17 lines
530 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Kusanyiko lao litaanzishwa mbele yangu.
|
||
|
|
||
|
"Nitawaanzisha kama kundi la watu mbele yangu."
|
||
|
|
||
|
# Kiongozi wao atatoka miongoni mwao. Atatokeza kutoka kati yao.
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi mbili zina maana moja. sentensi ya pili inaimarisha au kufafanua wazo lililo katika sentensi ya kwanza; "Kiongozi wao atachaguliwa kutoka kwa watu."
|
||
|
|
||
|
# Ni nani atakayethubutu kunisogelea?
|
||
|
|
||
|
Yahwe anatumia swali kuweka msisitizo kwamba hakuna mtu mwenye ujasiri wa kumkaribia mpaka Yahwe mwenyewwe amruhusu.
|
||
|
|