forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
354 B
Markdown
17 lines
354 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# milima yangu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya maeneo ya juu kabisa ya Yerusalemu na Yuda yote.
|
||
|
|
||
|
# Sharoni
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa eneo lenye rutuba la malisho.
|
||
|
|
||
|
# bonde la Akori
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la bonde ambalo huenda linaweza kukiimbia kutoka Yerusalemu mpaka kusini mwa Yeriko. Hili pia lilikuwa eneo lenye rutuba la malisho.
|
||
|
|