forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
494 B
Markdown
17 lines
494 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza kwa watu wasio waaminifu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# acha kusanyiko lako la sanamu likuokoe
|
||
|
|
||
|
Yahwe anawadhihaki watu na sanamu zao. Anaziambia sanamu kuwaokoa watu ingawa anajua haziwezi.
|
||
|
|
||
|
# upepo utaubeba wote mbali, pumzi itazibeba zote mbali
|
||
|
|
||
|
Hii ni kusema jambo moja kwa njia mbili kusisitiza ya kwamba sanamu hazijiwezi na hazina thamani. "upepo, hata pumzi, itazipuliza mbali"
|
||
|
|
||
|
# mlima mtakatifu
|
||
|
|
||
|
"Mlima matakatifu" ni Mlima Sayuni, katika Yerusalemu.
|
||
|
|