forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
845 B
Markdown
25 lines
845 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Nimekaa kimya kwa muda mrefu; Nilikuwa nimetulia n kujizuia
|
||
|
|
||
|
Mistari hii miwili inagawana maana ya kufanana. Kutulia kwa Yahwe kunafafanuliwa kama ukimya na utulivi.
|
||
|
|
||
|
# Nilikuwa nimetulia n kujizuia
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili inagawana jambo moja na hudokeza ya kwamba Yahwe amejizuia kutotenda. "Nimejizuia kutofanya chochote"
|
||
|
|
||
|
# Nitalia kama mwanamke katika uchungu; nitahema na kutweta
|
||
|
|
||
|
Utulivu wa Yahwe kama hodari anayepaza sauti inalinganishwa na mwanamke mwenye mimba anayelia kwa maumivu ya uchungu. Hii inasisitiza tendo la ghafla lisilozuilika baada ya kipindi cha utulivu.
|
||
|
|
||
|
# Nitafanya milima kuwa takataka ... Nitakausha mabwawa
|
||
|
|
||
|
Yahwe anatumia lugha hii ya kisitiari kufafanua nguvu yake kubwa kushinda adui zake.
|
||
|
|
||
|
# mabwawa
|
||
|
|
||
|
Bwawa ni eneo laini, lililo tepe tepe lenye madimbwi ya maji
|
||
|
|