forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
393 B
Markdown
17 lines
393 B
Markdown
|
# Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la Mungu wa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# neno
|
||
|
|
||
|
"ujumbe"
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno hili linatumika hapa kama lahaja kuvuta usikivu wa Hezekia kwa kile kinachofuatwa kusemwa. "Sikilizeni"
|
||
|
|
||
|
# ambapo kila kitu katika kasri yako ... kitabebwa mpaka Babeli
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "pale ambapo jeshi la adui litachukua kila kitu katika kasri yako ... kurudi Babeli"
|
||
|
|