forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
368 B
Markdown
17 lines
368 B
Markdown
|
# Maji ya bahari yatakauka, na mto utakauka na kuwa tupu
|
||
|
|
||
|
Wamisri walimaanisha Mto Nile kama "bahari". Misemo hii miwiwli ina maana. "Mto Nile utakauka kabisa"
|
||
|
|
||
|
# itakuwa chafu
|
||
|
|
||
|
"kutoa harufu mbaya" au "kunuka"
|
||
|
|
||
|
# itafifia
|
||
|
|
||
|
"kuwa chini"
|
||
|
|
||
|
# matete na mianzi itasinyaa
|
||
|
|
||
|
"Matete" na "mianzi" ina maana ya aina mbili ya mimea ya maji. "mimea katika mto itakufa na kuoza"
|
||
|
|