forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
657 B
Markdown
21 lines
657 B
Markdown
|
# itaangamizwa tena
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "majeshi yataangamiza nchi ya Israeli tena"
|
||
|
|
||
|
# kama mvinje na mwaloni inapokatwa na mashina kubaki, mbegu takatifu ipo katika kisiki chake
|
||
|
|
||
|
Tashbihi hii ina maana ya kwamba hata baada ya Yahwe kuangamiza Israeli, atawatenga kando watu kutoka miongoni mwa Waisraeli kumtumikia.
|
||
|
|
||
|
# mvinye
|
||
|
|
||
|
aina ya mti wa mwaloni
|
||
|
|
||
|
# shina ... kisiki
|
||
|
|
||
|
Shina ni shina nene la mti. Kisiki ni sehemu ya mti ambayo inasalia kwenye ardhi baada ya mti kukatwa chini.
|
||
|
|
||
|
# mbegu takatifu
|
||
|
|
||
|
Watu ambao watamtumikia Yahwe baada ya majeshi kuangamiza Israeli inazungumziwa kana kwamba walitengwa kando kama mbegu takatifu.
|
||
|
|