forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
536 B
Markdown
13 lines
536 B
Markdown
|
# Mpaka miji ianguke katika uharibifu na iwe bila wakazi, na nyumba iwe bila watu
|
||
|
|
||
|
"Mpaka miji yote na nyumba ziharibike na hakuna mtu anayeishi pale"
|
||
|
|
||
|
# nchi huanguka katika takataka ya ukiwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "huanguka katika" ni lahaja ambayo ina maana ya kuwa kitu kibaya zaidi. "nchi inakuwa takataka ya upweke"
|
||
|
|
||
|
# Mpaka Yahwe awaondoe watu mbali, na upweke wa nchi ni mkubwa
|
||
|
|
||
|
Hapa Yahwe anazungumza kuhusu yeye mwenyewe katika mtu wa utatu. "Hadi mimi, Yahwe, nimewatuma watu wote mbali kabisa mwa nchi yao, ili kwamba hakuna mtu anayebaki"
|
||
|
|