forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
480 B
Markdown
21 lines
480 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Bwana anazungumza kuhusu lini atawakomboa watu wake.
|
||
|
|
||
|
# Watanifuata, Bwana
|
||
|
|
||
|
Kumuabudu na kumuheshimu Bwana kunazungumzwa kama kitendo cha kumfuata nyuma yake.
|
||
|
|
||
|
# Nitanguruma kama simba
|
||
|
|
||
|
Bwana atawafanya watu wake warudi kwenye nchi yake na kitendo hiki kimezungunzwa kama kitendo cha kuitwa.
|
||
|
|
||
|
# Watakuja wakitetemeka kama ndege ... kama njiwa
|
||
|
|
||
|
Watarudi nyumbani mapema kama vile ndege anavyorudi kwenye kiota chake.
|
||
|
|
||
|
# tamko la Bwana
|
||
|
|
||
|
"ambalo Bwana anasema"
|
||
|
|