forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
521 B
Markdown
21 lines
521 B
Markdown
|
# kwa mkono wa Haghai
|
||
|
|
||
|
"Ulikuja kupitia maneno" (au 'mdomo') wa Haghai
|
||
|
|
||
|
# ni wakati wenu wa kukaa kwenye nyumba zenu zilizokamilika?
|
||
|
|
||
|
Tazama UDB
|
||
|
|
||
|
# wakati nyumba hii inaharibika
|
||
|
|
||
|
Neno "Nyumba" hapa inamaanisha hekalu ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# lakini usilewe
|
||
|
|
||
|
Hapa aya hii haimaanishi kuwa kulewa siyo kitu kizuri. Badala yake hakuna mvinyo unaoweza kukidhi kiu ya watu na haitoshi kwa kunywa.
|
||
|
|
||
|
# mishahara mnayopata ya fedha mnaweka kwenye mfungo ambao umejaa mashimo
|
||
|
|
||
|
"pesa unayotengeneza kazini haiwezi kukunulia vitu vya kutosha"
|
||
|
|