forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
415 B
Markdown
13 lines
415 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla:
|
||
|
|
||
|
Habakuki anafafanua hofu yake anapofikiri kuhusu Yahwe angewapa adhabu Wakaldayo.
|
||
|
|
||
|
# ndani yangu kulitetemeka! midomo yangu ilitetema ... uozo huja kwenye mifupa yangu ... chini yangu mwenyewe natetemeka.
|
||
|
|
||
|
haya yanarejerea hofu iliyosababishwa na kufikiri kuhusu matukio yajayo. Habakuki anatumia baadhi ya sehemu za mwili wake kudhihirisha kwamba kila kiungo chake kinahofu.
|
||
|
|
||
|
# oza
|
||
|
|
||
|
chakaa
|
||
|
|