forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
1.1 KiB
Markdown
41 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Kauli Kiunganishi:
|
||
|
|
||
|
Ndugu wanaendelea kuzungumza na mtunzaji wa nyumba.
|
||
|
|
||
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatumika kuweka alama ya tukio muhimu la simulizi.
|
||
|
|
||
|
# tulipofika katika eneo la kupumzikia
|
||
|
|
||
|
"tulipofika mahali ambapo tulikwenda kukaa usiku ule"
|
||
|
|
||
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaonyesha ya kwamba ndugu walishangazwa kwa kile walichokiona.
|
||
|
|
||
|
# pesa ya kila mtu ilikuwa katika gunia lake, pesa yetu kwa kiasi kamili
|
||
|
|
||
|
"kila mmoja wetu alikuta pesa kamili katika gunia lake"
|
||
|
|
||
|
# Tumeileta katika mikono yetu.
|
||
|
|
||
|
Hapa "mikono" ina maana ya mtu mzima. "Tumerudisha pesa pamoja nasi"
|
||
|
|
||
|
# Tumekuja na pesa nyingine pia mikononi mwetu ili kununua chakula
|
||
|
|
||
|
Hapa "mikono" ina maana ya mtu mzima. "Tumekuja na pesa zaidi pia kununua chakula zaidi"
|
||
|
|
||
|
# Tumekuja na
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa kawaida kutumia msemo "kushuka" pale ambapo inazungumziwa safari ya kutoka Kaanani kwenda Misri.
|
||
|
|
||
|
# Amani iwe kwenu
|
||
|
|
||
|
Nomino inayojitegemea "Amani" inaweza kuwekwa kama kitenzi. "Tulia" au "Tulieni"
|
||
|
|
||
|
# Mungu wenu na Mungu wa baba yenu
|
||
|
|
||
|
Mtunzaji hazungumzi kuhusu Mungu wawili tofauti. "Mungu wenu, Mungu ambaye baba yenu anamwabudu"
|
||
|
|