forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
446 B
Markdown
29 lines
446 B
Markdown
|
# Kisha akashika mimba
|
||
|
|
||
|
"Lea akawa mjamzito"
|
||
|
|
||
|
# kuzaa mwana
|
||
|
|
||
|
"akazaa mwana wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe amesikia kwamba sipendwi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yahwe amesikia kuwa mme wangu hanipendi"
|
||
|
|
||
|
# akamwita Simoni
|
||
|
|
||
|
Jina Simoni linamaanisha "kusikiwa."
|
||
|
|
||
|
# mume wangu ataungana nami
|
||
|
|
||
|
"mume wangu atanikumbatia"
|
||
|
|
||
|
# nimemzalia wana watatu
|
||
|
|
||
|
"nimezaa wana watatu wa kiume kwa ajili yake"
|
||
|
|
||
|
# akaitwa Lawi
|
||
|
|
||
|
Jina Lawi linamaanisha "ambatishwa."
|
||
|
|