forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
722 B
Markdown
29 lines
722 B
Markdown
|
# Lea hakupendwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yakobo hakumpenda Lea"
|
||
|
|
||
|
# hakupendwa
|
||
|
|
||
|
Hii ni kuza jambo kusisitiza kuwa Yakobo alimpenda Raheli zaidi ya Lea. "alimpenda kwa uhafifu kuliko Raheli"
|
||
|
|
||
|
# hivyo akalifungua tumbo lake
|
||
|
|
||
|
Mungu kumsababisha Lea kuwa na uwezo wa kuwa na mimba inazungumziwa kama kwamba Mungu alifungua tumbo lake.
|
||
|
|
||
|
# hakuwa na mtoto
|
||
|
|
||
|
"hakuweza kuwa mjamzito"
|
||
|
|
||
|
# Lea akashika mimba na kuzaa mwana
|
||
|
|
||
|
"Lea alipata mimba na kumzaa mwana wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# naye akamwita Rubeni
|
||
|
|
||
|
Jina Rubeni linamaanisha "Tazama, mwana wa kiume."
|
||
|
|
||
|
# Yahwe ameliangalia teso langu
|
||
|
|
||
|
Lea alipitia uchungu wa hisia kwa sababu Yakobo alimkataa.. Nomino "teso" inaweza kuwekwa kama kitenzi. "Yahwe aliona kuwa nateseka"
|
||
|
|