forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
680 B
Markdown
17 lines
680 B
Markdown
|
# Je unitumikie bure ... ndugu yangu?
|
||
|
|
||
|
Labani anatumia swali kusisitiza ya kwamba anatakiwa kumlipa Yakobo kwa kumtumika. Swali linawezakutafsiriwa kama kauli. Pia linaweza kuwekwa katika njia ya chanya. "Hakika ni sahihi ya kwamba nikulipe kwa kunitumikia ingawa wewe ni ndugu yangu."
|
||
|
|
||
|
# Basi Labani alikuwa
|
||
|
|
||
|
Neno "basi" linatumika hapa kuweka alama ya badiliko kutoka kwa simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Labani na binti zake"
|
||
|
|
||
|
# Macho ya Lea yalikuwa dhaifu
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa 1) "Macho ya Lea yalikuwa mazuri" au 2) "Macho ya Lea yalikuwa ya kawaida"
|
||
|
|
||
|
# Yakobo alimpenda Raheli
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "alimpenda" lina maana ya mvuto wa kimahaba kati ya mwanamume na mwanamke.
|
||
|
|