forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
421 B
Markdown
21 lines
421 B
Markdown
|
# mwana wa dada yake
|
||
|
|
||
|
"mpwa wake"
|
||
|
|
||
|
# akamkumbatia
|
||
|
|
||
|
"alimkumbatia"
|
||
|
|
||
|
# akambusu
|
||
|
|
||
|
Nyakati za kale Mashariki ya Karibu, ilikuwa kawaida kumsalimu ndugu na busu. Ingawa, inafanywa baina ya wanamume.
|
||
|
|
||
|
# Yakobo akamwambia Labani mambo haya yote
|
||
|
|
||
|
"kisha Yakobo alimwambia Labani kila kitu alichomuambia Raheli"
|
||
|
|
||
|
# mfupa wangu na nyama yangu
|
||
|
|
||
|
msemo huu una maana zinaoana moja kwa moja. "ndugu yangu" au "mmoja wa familia yangu"
|
||
|
|