forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
447 B
Markdown
17 lines
447 B
Markdown
|
# nguzo
|
||
|
|
||
|
Hii ni nguzo ya kumbukumbu, yaani, jiwe kubwa au jabali lililowekwa mwishoni pake.
|
||
|
|
||
|
# kumimina mafuta juu yake
|
||
|
|
||
|
Tendo hili linaashiria ya kwamba Yakobo anaweka wakfu nguzo kwa Mungu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "alimwaga mafuta juu yake ili kuiweka wakfu nguzo kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Betheli
|
||
|
|
||
|
Watafsiri wanaweza kuongeza maandishi mafupi yanayosema "Jina la Betheli lina maana 'nyumba ya Mungu."
|
||
|
|
||
|
# Luzu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji.
|
||
|
|