forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
505 B
Markdown
17 lines
505 B
Markdown
|
# Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake wakawapakia ngamia
|
||
|
|
||
|
"Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake wakawapakia ngamia"
|
||
|
|
||
|
# Hivyo watumishi wakamchukua Rebeka, na wakaenda zao
|
||
|
|
||
|
"Katika njia hii mtumishi wa Abrahamu alimchukua Rebeka pamoja naye na kurudi naye mahali alipotoka"
|
||
|
|
||
|
# Nyakati hizo
|
||
|
|
||
|
Neno hili linaweka alama ya kubadili simulizi. Ilikuwa inaeleza juu ya mtumishi kutafuta mke, na sasa itaanza kueleza kuhusu Isaka.
|
||
|
|
||
|
# Beerlahairoi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la maji ya kisima kule Negebu.
|
||
|
|