sw_tn/gen/24/61.md

17 lines
505 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake wakawapakia ngamia
"Kisha Rebeka akasimama, yeye na watumishi wake wakawapakia ngamia"
# Hivyo watumishi wakamchukua Rebeka, na wakaenda zao
"Katika njia hii mtumishi wa Abrahamu alimchukua Rebeka pamoja naye na kurudi naye mahali alipotoka"
# Nyakati hizo
Neno hili linaweka alama ya kubadili simulizi. Ilikuwa inaeleza juu ya mtumishi kutafuta mke, na sasa itaanza kueleza kuhusu Isaka.
# Beerlahairoi
Hili ni jina la maji ya kisima kule Negebu.