sw_tn/gen/06/05.md

13 lines
326 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# mwinamo
"mwelekeo" au "tabia"
# mawazo ya mioyo yao
Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaofikiri. "mawazo yao ya ndani ya siri"
# ikamuhuzunisha moyo wake
Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaoweza kuhisi huzuni. "alikuwa na huzuni sana mno juu ya hili"