forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
326 B
Markdown
13 lines
326 B
Markdown
|
# mwinamo
|
||
|
|
||
|
"mwelekeo" au "tabia"
|
||
|
|
||
|
# mawazo ya mioyo yao
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaofikiri. "mawazo yao ya ndani ya siri"
|
||
|
|
||
|
# ikamuhuzunisha moyo wake
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaoweza kuhisi huzuni. "alikuwa na huzuni sana mno juu ya hili"
|
||
|
|